Uhaba wa waalimu wakosesha wanafunzi masomo
Shule ya Msingi Kitumbi iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma inakabiliwa na uhaba mkubwa wa walimu, ikiwa na wakufunzi wanne kwa ajili ya wanafunzi zaidi ya 300 hali inayosababisha wanafunzi kukosa masomo stahiki.