Gabon ilivyotafunwa na Serengeti Boys jana Serengeti Boys Timu ya taifa ya Tanzania vijana wenye umri chini ya miaka 17 'Serengeti Boys' jana walifanikiwa kuichakaza Gabon kwa mabao 2-1 kwenye mchezo wa kirafiki uliofanyika Rabat, nchini Morocco. Read more about Gabon ilivyotafunwa na Serengeti Boys jana