Gabon ilivyotafunwa na Serengeti Boys jana

Serengeti Boys

Timu ya taifa ya Tanzania vijana wenye umri chini ya miaka 17 'Serengeti Boys'  jana walifanikiwa kuichakaza Gabon kwa mabao 2-1 kwenye mchezo wa kirafiki uliofanyika Rabat, nchini Morocco.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS