Wabunge waungana kuaga mwili wa Dkt. Macha
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo ameungana na wabunge katika kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Dkt. Elly Macha aliyefariki Machi, 31, 2017 katika hospitali ya New Cross Wolverhampton nchini Uingereza.