Wabunge waungana kuaga mwili wa Dkt. Macha

Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Dkt Elly Macha wakati wa kuaga Bungeni Mjini Dodoma leo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo ameungana na wabunge katika kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Dkt. Elly Macha aliyefariki Machi, 31, 2017 katika hospitali ya New Cross Wolverhampton nchini Uingereza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS