Bulaya, Mdee 'OUT' bungeni

Mbunge wa Kawe Halima Mdee kushoto, Kulia ni Mbunge wa Bunda Mjini Ester Bulaya

Mbunge wa jimbo la Kawe, Mh. Halima Mdee na Mbunge wa jimbo la Bunda Mjini, Mh. Esther Bulaya wamesimamishwa kuhudhuria vikao vyote vya Bunge vinavyoendelea mpaka mkutano ujao wa Bunge la Bajeti la mwaka  2018/19.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS