Wasanii wapata ulaji serikalini

Annastazia Wambura

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imesema ipo katika mchakato wa kuanzisha 'Mfuko wa Maendeleo ya Sanaa' ambao utakuwa unawasaidia wasanii kuinua kipato chao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS