Kilichowakutanisha Nuh na Shilole Z'bar Nuh na Shilole katika moja ya matukio ambayo wamewahi kukutana baada ya kuachana Msanii wa bongo fleva Nuh Mziwanda amesema Shilole ni msanii mwenzake na walivyoenda Zanzibar hawakuwa pamoja kila mtu alikuwa ameenda kwa kazi yake. Read more about Kilichowakutanisha Nuh na Shilole Z'bar