Mbao FC yajifariji kwa Wajelajela

Wachezaji wa Mbao FC katika moja ya mechi walizocheza Kaitaba Bukoba

Timu ya Mbao FC ambayo ni miongoni mwa timu zilizo katika hatari ya kushuka daraja katika ligi kuu Tanzania Bara, baada ya kipigo cha 3-2 kutokwa kwa Simba, leo imepata faraja kama si matumaini baada ya kuibanjua Tanzania Prisons bao 1-0

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS