Mbao FC yajifariji kwa Wajelajela
Timu ya Mbao FC ambayo ni miongoni mwa timu zilizo katika hatari ya kushuka daraja katika ligi kuu Tanzania Bara, baada ya kipigo cha 3-2 kutokwa kwa Simba, leo imepata faraja kama si matumaini baada ya kuibanjua Tanzania Prisons bao 1-0