Maalim Seif 'awakunjia ndita' CAG na Hazina

Maalim Seif Sharif Hamad

Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad amesema ameiandikia hazina pamoja na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuwa kamwe upande anaouongoza hautahusika na pesa yoyote inayotolewa na kutumika katika kipindi hiki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS