Maalim Seif 'awakunjia ndita' CAG na Hazina
Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad amesema ameiandikia hazina pamoja na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuwa kamwe upande anaouongoza hautahusika na pesa yoyote inayotolewa na kutumika katika kipindi hiki.