Askofu akemea wanaoshangilia mauaji ya askari

Askofu Isaac Amani

Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi Isaac Amani Masawe amesema hali ya ulinzi na usalama kwa watanzania kwa sasa siyo nzuri huku akionesha kukerwa na wanaoshamngilia vifo vya askari 8 waliouawa na majambazi, wilayani Kibiti mkoani Pwani

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS