Watanzania waliokuwa Sudan waanza kurudi nyumbani Ndege iliyobeba watanzania Watanzania 200 na baadhi ya raia wa mataifa mengine waliokuwa Sudan wanatarajiwa kuwasili nchini hii leo Aprili 27, 2023, kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Read more about Watanzania waliokuwa Sudan waanza kurudi nyumbani