Ukaguzi miradi ya maji Dodoma

Ukosefu wa maji safi na salama umetajwa kuchangia magonjwa mbalimbali ya mlipuko na yale yakuambukizwa, hali iliyowatoa ofisini watendaji wa wizara ya maji wakiongozana na Katibu Mkuu wa wizara hiyo kwenda kukagua miradi ya maji inavyofanya kazi ili wananchi wayatumie.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS