Kalinaki Rais wa Wahariri Afrika Mashariki Daniel Kalinaki Jumuiya ya Wahariri Afrika Mashariki imemchagua Daniel Kalinaki wa Jukwaa la Wahariri Uganda kuwa Rais wa Jumuiya ya Wahariri Afrika Mashariki kuanzia Mei 12, 2023, ambapo ataongoza kwa mwaka mmoja. Read more about Kalinaki Rais wa Wahariri Afrika Mashariki