Rais Magufuli aridhishwa na ujenzi wa mabweni UDSM

Rais Magufuli zakizungumza na mafundi na wakandarasi wanatekeleza ujenzi wa mabweni ya wanafunzi, UDSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amehidi kumalizia kiasi cha shilingi bilioni tano alichoahidi katika ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam na kuahidi ajira kwa watendaji wa ujenzi huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS