Rais Magufuli aridhishwa na ujenzi wa mabweni UDSM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amehidi kumalizia kiasi cha shilingi bilioni tano alichoahidi katika ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam na kuahidi ajira kwa watendaji wa ujenzi huo.