Serikali yasaka teknolojia ya kukaushia nafaka

Charles Mwijage

Serikali imesema imejizatiti katika kuwaandaa na kuwatafuta wataalam wa kilimo hasa wenye uwezo kuhusu maswala ya ukaushaji wa mazao ya nafaka ili kukabiliana na changamoto zinazosababishwa na tatizo la unyevunyevu kwenye mazao hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS