Sheria ya kuwalinda watoa taarifa yaanza kutumika

Dkt Harrison Mwakyembe

Tanzania imeanza kutumia sheria mpya ya kuwalinda watoa taarifa za uhalifu na makosa pamoja na mashahidi wa makosa mbalimbali waliyoshuhudia yakitendeka kwa kuwapatia ulinzi wa kisheria ili kuongeza mapambano dhidi ya uhalifu nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS