Nitamfunga anayepanga kuvunja ndoa yangu: Mr. Blue Mr Blue Msanii wa bongo fleva anayetamba na ngoma yake ‘Mboga Saba’ Mr Blue amesema yuko atamchukulia hatua za kisheria mtu aliyesambaza habari za kuwa anawasiliana na mpenzi wake wa zamani Naj. Read more about Nitamfunga anayepanga kuvunja ndoa yangu: Mr. Blue