TRA yaendelea na zoezi la uhakiki wa TIN

Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Alphayo Kidata (pichani) hivi karibuni alizindua zoezi hilo la uhakiki litakalodumu kwa muda wa siku sitini.

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imeendelea na zoezi la uhakiki wa wamiliki wa namba za utambulisho wa mlipa kodi (TIN) na kusisitiza kuwa zoezi hilo linafanyika bure na kwamba wamiliki wake hawatakiwi kulipia gharama yoyote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS