Urusi yafanya ziara Afrika Kusini Serikali ya Afrika Kusini imesambaza picha na video za ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov, ambapo amekutana na mwenzake wa Afrika Kusini Naeldi Pandor mjini Pretoria Read more about Urusi yafanya ziara Afrika Kusini