IGP Wambura ataka mabadiliko haya

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillus Wambura akiwa na Mwenyekiti wa Mtandao wa Polisi Wanawake (TPF- NET) ambaye pia ni Kamishna wa Utawala na Menejimenti ya Rasilimali Watu CP Susan Kaganda

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillus Wambura, amewataka watendaji wa mtandao wa polisi wanawake nchini (TPF- NET) kuonyesha mabadiliko ya kiutendaji hususani kwenye suala la uongozi katika kutekeleza majukumu mbalimbali ya kazi za kipolisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS