Watu 57 wanusurika ajalini Morogoro

Watu 57 wamenusurila kifo katika ajali iliyotokea barabara kuu ya Morogoro - Dar es-salaam baada ya gari ya abiria kampuni ya Al-Seady  lililokua linatoka  Kilosa kuelekea Dar es Salaam kupinduka eneo la Kitungwa Manispaa ya Morogoro

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS