Mwili wa askofu mstaafu aliyepotea waokotwa ziwani
Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza limethibitisha kupatikana kwa mwili wa askofu mstaafu wa kanisa la Angilikana Diocese ya Victoria Nyanza Boniface William, anayedaiwa kupotea tangu Novemba 28/2022 na mwili wake kukutwa ukielea ndani ya maji kando ya ziwa Victoria