Wakimbizi kutoka Burundi wagoma kurudi kwao

Asilimia 95 ya Wakimbizi na waomba hifadhi wa nchi ya Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu Wilayani Kasulu mkoani  Kigoma, wamegoma kurejea nchini kwao,  kwa kile wanachodai bado hali ya amani hairidhishi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS