RUWASA yaagiza mradi mkubwa wa maji Ludewa

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Maji na Usafi wa mazingira Vijijini (RUWASA) Mhandisi Clement Kivegalo amemuagiza Meneja wa Ruwasa wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kuandaa mradi mkubwa wa usambazaji maji ambao utatekelezwa katika bajeti ijayo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS