RC Chalamila akemea rushwa mabaraza ya ardhi
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila amewataka wajumbe wa baraza la ardhi katika mkoa huo, kuacha vitendo vya kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa wananchi, maana kufanya hivyo kunachochea migogoro ambayo athari zake ni kubwa ikiwamo watu kuuana