Wavuvi Bukoba wapatiwa mafunzo na vifaa
Baadhi ya wavuvi kutoka katika wilaya za Missenyi na Bukoba wanaoshiriki mafunzo ya uokozi yaliyotolewa na serikali kupitia ofisi ya Waziri Mkuu, wameahidi kutumia mafunzo hayo kuokoa watu kitaalamu tofauti na awali ambapo waliokoa kwa kutumia uzoefu wa maji.