Changamoto uandikishwaji darasa la saba zatajwa
Idadi ya wanafunzi waliojiandikisha kujiunga na darasa la kwanza kwa mwaka 2023 katika shule mbili za msingi za Yusuph Makamba iliyopo Temeke na Mpakani iliyopo mtaa wa Jitegemee kata ya mabibo imeelezwa kushuka tofauti na mwaka jana