Watanzania watakiwa kuwekeza nishati mbadala.

Mkurugenzi wa Mazingira toka ofisi ya Makamu wa Rais Dr Julius Ningu.

Watanzania wametakiwa kuanza sasa kuwekeza katika Nishati mbadala itokanayo na Uchafu pamoja na Takataka ili kujikomboa na Upungufu wa Nishati nchini ili kuuza umeme huo kwa wamiliki wa viwanda nchini na kwa watu binafsi na kujipatia kipato.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS