Minja waambie wadau wasifunge maduka -Mahakama

Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya Wafanyabiashara Nchini, Bw. Jonson Minja (mwenye koti) akisomewa mashtaka yake katika mahakama ya mkoa wa Dodoma

Hakimu mkazi wa mahakama ya Mkoa wa Dodoma Rebecca Mbilu amemtaka mwenyekiti wa jumuiya ya wafanyabishara nchini, Johnson Minja kuwaambia wafanya biashara nchini waache kufunga maduka yao wakati wa kesi yake kwani ni sharti mojawapo la dhamana yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS