Rama Dee: gemu lipo poa sasa

msanii wa R&B nchini Tanzania Rama Dee

Rama Dee, ambaye ameachia rekodi mpya inayokwenda kwa jina 'Usihofie Wachaga' ametumia nafasi yake kuwaasa wasanii wenzake kutosahau kuambatanisha mafundisho ya aina fulani katika muziki wao kwa ajili ya faida ya kizazi cha sasa na cha baadae.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS