TASAF kuwanufaisha zaidi ya watu milioni 3.

Davis Mwamunyange akiongea na Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mhe. Edward Lowassa. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Daudi Felix Ntibenda.

Mradi wa kupunguza umaskini awamu ya tatu unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF,na kufadhiliwa na mfuko wa OPEC,unalenga kuwanufaisha watu milioni 3.1 katika halmashauri 14 katika mikoa miwili ya Arusha na Njombe hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS