Polisi yaja na kampeni mpya dhidi ya uhalifu

Naibu mkuu wa jeshi la polisi nchini Tanzania, Abdulrahman Kaniki.

Jeshi la polisi nchini Tanzania limezindua kampeni ya kuzuia uhalifu iliyopewa jina la “sote kwa pamoja tunaweza kukataa uhalifu” ili kukabiliana na uhalifu wa kimataifa unaohusisha wahalifu kutoka nchi zaidi ya moja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS