Fidia kwa wakazi wa Chasimba bado kizungumkuti

Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka. Wizara yake ina ndiyo inayoshughulikia suala la fidia kwa wakazi wa Chasimba.

Wakazi kutoka zaidi ya kaya 4,000 katika eneo la Chasimba kata ya Bunju manispaa ya Kinondoni jijini Dar-es-Salaam, bado hawajui hatma ya makazi yao, licha ya serikali kuingilia kati mgogoro kati ya kiwanda cha saruji cha Wazo Hill na wananchi hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS