Tunashughulikia changamoto za elimu - Pinda

Waziri mkuu wa Tanzania Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda.

Serikali ya Tanzania imesema inafanya juhudi za kukabiliana na changamoto mbalimbali zilizopo katika sekta ya elimu, ili kukidhi mahitaji muhimu ya wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari ikiwa ni pamoja na kutatua tatizo la upungufu wa madawati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS