TFDA yatoa mafunzo kwa wajasiriamali

Mkurugenzi mkuu wa TFDA, Hiiti Silo (kushoto) akionyesha namna wajasiriamali wanavyoweza kuzingatia suala la usalama kwenye bidhaa

Zaidi ya wajasiriamali mia moja kutoka maeneo mbalimbali nchini Tanzania wanaofanya shughuli za kuzalisha bidhaa za chakula wamepewa mafunzo ya usalama wa chakula na bidhaa nyinginezo wanazozalisha ili kulinda afya na maisha ya watumiaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS