Polisi yanasa wafuasi 155 wa kundi la 'Panya Road

Mkuu wa polisi wa kanda maalumu ya Dar es Salaam, kamishna wa polisi Suleiman Kova.

Jeshi la Polisi kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania linawashikilia vijana 155 wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa genge la uhalifu linalojiita Panya Road ambao hapo awali walikuwa wanajiita Mbwa Mwitu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS