MOI yafurika wagonjwa ajali za pikipiki

Msemaji wa taasisi ya tiba za mifupa na mishipa ya fahamu Muhimbili - MOI (aliyekaa katikati), Almas Jumaa, akizungumza na waandishi wa habari Idara ya Habari Maelezo hivi karibuni.

Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) imesema idadi ya wagonjwa wanaopokelewa kutokana na ajali za barabarani hasa zile za piki piki maarufu kama bodaboda na Bajaj zinaongezeka kwa kasi ambapo kwa wastani kwa siku wanapokea wagonjwa kati ya 5 na 20.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS