Mwenge kuibua miradi ya bil 106 Mbeya

Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, akiupokea Mwenge wa Uhuru ulipowasili mkoani Mbeya Oktoba tatu mwaka jana.

Jumla ya miradi 106 yenye thamani ya fedha za Tanzania Shilingi Bilioni 15.4 itatembelewa na mbio za Mwenge mkoani Mbeya mwaka huu, kati ya hiyo hamsini itazinduliwa na mingine kuwekewa mawe ya msingi na baadhi yake kukabidhiwa kwa walengwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS