Serikali imewataka wafugaji kuongeza mahudhurio
Serikali ya Tanzania imewataka jamii ya wafungaji kuongeza kiwango cha kukusanya maziwa yatakayoweza kusindikwa viwandani ili serikali kutimiza adhima ya kugawa maziwa kwa wanafunzi wa shule za msingi hali itakayosaidia kuongeza mahudhurio mashuleni.