WADAU WAIPONGEZA SERIKALI MAANDALIZI MADOLA Wadau wamesema mpango wa kupeleka wanamchezo nje ya nchi ni wakupongezwa,lakini wataka mpango huo uwe wa kudumu na endelevu kwa michezo yote, pindi kukiwa na michuano mikubwa ya kimataifa mbele yao Read more about WADAU WAIPONGEZA SERIKALI MAANDALIZI MADOLA