Hali ya upatikanaji wa maji Dar es Salaam

Agizo la waziri mkuu la kufufua visima vilivyopo jiji Dar-Es-Salaam Bado linaendelea kutekelezwaa na Wakala wauchimbaji visima na ujenzi wa mabwawa-DDCA Kwa kushirikiana na mamlaka ya maji na Usafi wa mazingira-DAWASA  ambapo  Hadi sasa tayari visima zaidi ya 50 vimesafishwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS