Makazi yazingirwa na tope chafu la mgodini

Baadhi ya wakazi wa eneo ambalo limezingirwa na maji machafu ya mgodini

Bwawa la maji machafu katika mgodi wa Williamson Diamond wa mkoani Shinyanga, limepasuka na tope kutiririka kwenye makazi ya watu na kusababisha nyumba 13 kuzingirwa na tope na maji machafu huku wakazi wakilazimika kuyahama makazi yao kwa muda kwa ajili ya usalama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS