Watendaji nchini watakiwa kubadilisha fikra

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Sekta ya Mifugo) Bw. Tixon Nzunda amewataka watendaji serikalini kufanya mabadiliko makubwa ya kifikra, kiutendaji na mifumo ya kiuendeshaji ili kukuza sekta za uzalishaji mali nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS