Familia ya watu 15 yalala chini ya mwembe 

Familio iliyobomelewa nyumba

Familia ya watu 15 wakazi wa Kijiji cha Kinango Kata ya Nyigogo wilayani Magu mkoani Mwanza, imelazimika kulala chini ya mti wa mwembe baada ya kubomolewa nyumba waliyokuwa wakiishi kutokana na mgogoro wa ardhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS