Waziri Mkuu atoa maagizo Wizara ya Maji

Waziri Mkuu Tanzania Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu  Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maji kwa kushirikiana na sekta binafsi ihakikishe inakamilisha taratibu za utekelezaji wa mradi wa kutoa maji mto Rufiji utakaosambaza maji katika maeneo ya mkoa wa Pwani na Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS