Kocha wa Club Africain amhofia Mayele

Klabu ya Yanga inataraji kushuka dimbani Jumatano ya Kesho Novemba 2, 2022 kucheza dhidi ya timu ya Club Africain ya Tunisia saa 10:00 Jioni kwenye dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam ikiwa ni mchezo wa mchujo wa mwisho kuwania kufuzu hatua ya Makundi ya kombe la Shirikisho barani

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS