Octopizzo kuelekea Berlin

Rapa Octopizzo wa nchini Kenya, ameendelea kushuhudia mafanikio katika muziki wake siku hadi siku, ambapo msanii huyu hivi karibuni ataelekea huko Berlin nchini Ujerumani kwa ajili ya ziara ya wiki mbili ya kimuziki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS