Majangili wanne wakamatwa wakiwa na meno ya tembo

Jeshi la Polisi mkoani Iringa linawashikilia watuhumiwa wanne wa ujangili  ambapo pia wamekutwa na vitu mbalimbali ikiwemo vipande viwili vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilo 33 pamoja na Nyamapori ya mnyama Pofu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS