Mchakato wa bima ya afya kwa wote

Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC)wakili Anna Henga

Serikali imeshauriwa kueleza mikakati itakayotumiwa kuhakikisha kila mtanzania anakuwa na bima ya afya  bila kuhusisha matumizi ya nguvu ikipendekezwa kanuni zieleze wazi na zifanyiwe mapendekezo na kamati ya kudumu ya bunge ya sheria ndogo ili kuondoa malalamiko ambayo yamekuwa yakitokea

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS