Tani 1.96 za bangi zakamatwa

Bangi

Jeshi la Polisi nchini kupitia kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya (Ant drug Unit), limekamata jumla ya watuhumiwa 1212 wa madawa ya kulevya pamoja na kukamata tani 1.96 za bangi, tani 1.08 za mirungi, pamoja na heroini gramu 448.74.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS