Miti ya dawa hatarini kupotea Tanzania

Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) Levocatus Mshumbusi,

Uhifadhi wa misitu ya asili hasa  aina ya miti ambayo imekuwa ikitumika kama dawa iko hatarini kutoweka kabisa kutoka na na shughuli nyingi za binadamu ambazo zimekuwa zikipelekea  miti hiyo kuteketezwa pasipo kuendelezwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS